Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: AT azungumzia sababu kubwa ya kufeli kwa wasanii wa Zanzibar
3 May 2016

Game ya Bongo imekuwa ikishikiliwa na wasanii wa kutoka Tanzania bara na kwa sasa wasanii wengi wa kutoka Zanzibar wamekuwa wakifeli.
Akizungumzia sababu kubwa ya kufeli kwa wasanii hao Star wa mduara AT alisema kuwa mapromota ndo wanaoua vipaji vya wasanii hao.
“Wao wanapromote sana wahuni kuliko wastaarabu wanaojua kufanya kazi na ndomana muda mwingine tunaamua tukae pembeni kwanza muwapromote wahuni mukichoka mtakuja kwa wastaarabu tutaendelea na kazi zetu”, alisema AT.
Weekly Top 10 songs

Tudo Trocado3:17
CHAMPION GAL3:00
ONLY YOU JESUS5:44
Akaana kokukyalo2:21
Joy Is Coming3:08
Nasema3:02
BESTIE2:26
Minha Historia3:41
Baraka4:33
Mikono Juu2:49


Leave your comment