Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Ni mara kumi upate UKIMWI kuliko uwe unatumia madawa ya kulevya - Ferouz
3 May 2016

Baada ya ukimya wa muda mrefu sana wa wakongwe wa muziki wa Bongo Flava story zilizopo mtaani ni kuwa Ferooz ni miongoni mwa wasanii wanaotumia madawa ya kulevya na ndiyo sababu iliyompoteza kwenye reli ya muziki.
Kupitia Enewz Ferooz alikanusha tuhuma hizo na kudai kuwa misongo ya mawazo ndo huwa inawapelekea wasanii kuingia katika matumizi hayo ya madawa ya kulevya na kuwataka wengine wasifanye hivyo.
Ferooz amesema kuwa “Ni mara kumi upate UKIMWI kuliko uwe unatumia madawa ya kulevya” lakini pia akaongezea kwakusema “Nawashauri watu wengine pamoja na wasanii wenzangu wasije wakajaribu kufanya hivyo”.
Weekly Top 10 songs

Hatuachani8:47
Every push.2:01
Blessings Flow2:26
PENDEZESHA0:35
Daddy2:50
Bend and pouse2:54
Kisirani0:39
Boom party3:47
Nigina2:27
ONLY YOU JESUS5:44
Top stories
- Oxene Quiles feat kane gee
15 August
- Morning guys
16 August
- My baby
14 August
- Home town. New bang in town
15 August


Leave your comment