Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Ningemshauri Mr.Blue amtoe Sugu alafu kama inawezekana aniweke mimi kwenye chorus – Nay wa Mitego
29 April 2016

Baada ya siku chache kupita tangu kutoka kwa video ya “Freedom” ya Sugu, baada ya kutoka nyimbo hiyo kuleta utata wa ngoma hiyo ambayo Mr blue akasema ngoma ni yake, kupitia 255 ya Clouds FM Nay wa Mitego amefunguka kuhusiana na ngoma hiyo nakutaka kumpa idea Mr Blue, Nay amesema haya.
“Blue angekuwa ni mshikaji wangu ningemshauri na yeye amtoe Sugu alafu kama inawezekana aniweke mimi kwenye chorus halafu tuharibu hali ya hewa tutajuana huko mbele ya safari, halafu kama ni hela ya kuifanyia Video ngoma hii mimi nitalipa hata kwa GodFather au Hanscana‘ , Nay wa Mitego
Chanzo: Bongo5
Weekly Top 10 songs

Tudo Trocado3:17
CHAMPION GAL3:00
ONLY YOU JESUS5:44
Akaana kokukyalo2:21
Joy Is Coming3:08
Nasema3:02
BESTIE2:26
Minha Historia3:41
Baraka4:33
Mikono Juu2:49


Leave your comment