Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Ben Pol apata mtoto
21 April 2016

Muimbaji huyo wa ‘Samboira’ amepiga kimya lakini sio rahisi kwa mama aliyejifungua kuificha furaha ya kupata mtoto. Ben Pol kwa sasa ni baba wa mtoto awa kiume aliyetimiza mwezi mmoja sasa. Mchumba wa Ben Pol, Latifa Mohamed aka Queen Tipha aliyewahi kuwa mshindi wa pili kwenye Miss Tanzania 2013 ametusogeza karibu na mtoto wao.

Weekly Top 10 songs

Tudo Trocado3:17
CHAMPION GAL3:00
ONLY YOU JESUS5:44
Akaana kokukyalo2:21
Joy Is Coming3:08
Nasema3:02
BESTIE2:26
Minha Historia3:41
Baraka4:33
Mikono Juu2:49


Leave your comment