Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Ningependa kufanya muziki na Collo – Mansu-li
20 April 2016

Msanii wa miondoko ya hiphop Mansoor Ally almaarufu kama Mansu-li amesema kuwa msanii anayependa kufanya naye muziki Afrika Mashariki ni Collin Majale a.k.a Collo kutokea Kenya ambaye anafahamika pia kama king wa rap.
Mansu-li alisema hayo katika mahojiano yake na mwandishi wa Mdundo.com mara baada ya kuhojiwa kuwa ni msanii gani wa Afrika ya Mashariki angependa kufanya naye kazi, alijibu na kusema, “Msanii ambaye ningependa kufanya naye ngoma ni Collo King wa rap kutokea Nairobi Kenya, namkubali sana. Yuko vizuri kwenye kazi yake, natumai ikaja ikatokea tukafanya kazi wote tutatengeneza ngoma nzuri sana”. Ikaja kutokea Mansu-li akaja kufanya ngoma pamoja na King wa Rap kutokea Kenya, Collo watafanya kibao kikali sana kwani wote ni wakali katika muziki huu wa hiphop.
Siku chache tu zilizopita msanii huyu alitoa kibao chake kipya kiitwacho One-Two (OldSkul Vibe), kama umepitwa na kibao hiko unaweza ukakipata hapa:
mdundo.com/song/51404
Weekly Top 10 songs

Hatuachani8:47
Every push.2:01
Blessings Flow2:26
Daddy2:50
ONLY YOU JESUS5:44
Nigina2:27
Boom party3:47
Bend and pouse2:54
Blessed & Alive4:06
Temutuloga3:00
Top stories
- DA MOSQID SILENCES LANGO ARTISTS
12 August
- Faddymabeat ft kifacenuru-mdogomdogo
12 August
- New hitsong
12 August


Leave your comment