Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Jux na “African Boy”
19 April 2016

Msanii wa muziki wa bongo fleva wa nchini Tanzania, Juma Mussa Mkambala a.k.a Jux amejikita kwenye biashara pia. Juma Jux amekuja na Brand inayoitwa AfricanBoy. Brand hiyo imetoa bidhaa kama ma-tshirt, mabegi, na hivi karibuni ametoa kiatu cha African Boy.. Jux ni moja kati ya mastaa nchini wanaofanya kazi nyingine mbali na usanii akiwemo Wema Sepetu na Brand yake ya Kiss By Wema pamoja na mwanamitindo Flaviana Matata na brand yake ya Lavy polish.
Unaweza kutazama hapa baadhi ya bidhaa alizonazo Juma Jux kutokana na Brand yake ya African Boy:













Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00


Leave your comment