Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Idris ajiunga na Fezza Kessy Choice Fm
15 April 2016

Mshindi wa mashindano ya Big Brother Africa, Idris Sutan amejiunga na msanii wa bongo fleva nchini Tanzania, Fezza Kessy katika kituo cha utangazji cha Choice Fm ambayo iko chini ya usimamizi wa Clouds Media.
Redio ya Choice Fm katika ukurasa wao wa Instagram wamepost na kuandika:
Karibu @idrissultan kwenye usajili mpya wa 102.5 Choice Fm kwenye kipindi cha #HardDrive kuanzia saa 12-3 asubuhi.
Idriss ataungana na Feza Kessy katika kipindi hiko cha Hard Drive kuanzia saa 12 hadi saa 3 asubuhi. Mbali na hao pia kuna Dj Sinyorita pamoja na Mami ambao wote walikuwa katika kituo cha utangazaji cha Ea Radio na kuhamia Clouds.

Weekly Top 10 songs

Kamwambie3:47
chile-one-so-lucky4:02
Buwooma2:44
Joy Is Coming3:08
Nakupenda3:12
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Paver2:55
Ssirivawo ft yven feiz2:10
Ziyakuba kabotu6:57
Top stories
- #NEW MUSIC #NEW artist #RAYMATS!
30 April
- One and only
01 May
- SHUKRANI
02 May


Leave your comment