Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Diamond awa Balozi wa RedGold
14 April 2016

Nyota wa muziki wa bongo fleva ambae kila kukicha amekua akisikika kwa namna moja au nyingine. Hivi karibuni Diamond Platnumz amepata shavu la kuwa balozi wa sosi ya nyanya (Tomato Sauce) kutoka kampuni ya RedGold.
Diamond ambae amekua amesaini mkataba huo siku ya jana kuwa balozi wa tomato ambayo inatumika sana katika maeneo mengi yanayouza chips nchini Tanzania. Diamond huu ni mkataba wake wa tatu ambapo pia alishawahi kusaini mkataba na DSTV pamoja na Vodacom.
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00


Leave your comment