Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Diamond awa Balozi wa RedGold
14 April 2016

Nyota wa muziki wa bongo fleva ambae kila kukicha amekua akisikika kwa namna moja au nyingine. Hivi karibuni Diamond Platnumz amepata shavu la kuwa balozi wa sosi ya nyanya (Tomato Sauce) kutoka kampuni ya RedGold.
Diamond ambae amekua amesaini mkataba huo siku ya jana kuwa balozi wa tomato ambayo inatumika sana katika maeneo mengi yanayouza chips nchini Tanzania. Diamond huu ni mkataba wake wa tatu ambapo pia alishawahi kusaini mkataba na DSTV pamoja na Vodacom.
Weekly Top 10 songs

Kamwambie3:47
chile-one-so-lucky4:02
Buwooma2:44
Joy Is Coming3:08
Nakupenda3:12
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Paver2:55
Ssirivawo ft yven feiz2:10
Ziyakuba kabotu6:57
Top stories
- #NEW MUSIC #NEW artist #RAYMATS!
30 April
- One and only
01 May
- SHUKRANI
02 May


Leave your comment