Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Navy Kenzo wapata shavu la Airtel Tanzania
11 April 2016

Wanamuziki wanaounda kundi la Navy Kenzo, Aika pamoja na Nahreel wamepata shavu la kuwa mabalozi wa Airtel Tanzania kupitia promotion yao ya Jipimie na Airtel Yatosha.

Katika akaunti yao ya instagram, walipost na kusema : Tunapenda kuwataarifu rasmi kama Navy Kenzo ni Ambassador wapya wa #JipimieAirtelYatosha ambayo ni bundle mpya na za kipekee wewe kama mteja unaweza kujipimia chochote utakacho iwe dakika, sms au Mb pekee au vyote tu piga *149*98# #jipimieyatosha

Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00


Leave your comment