Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Navy Kenzo wapata shavu la Airtel Tanzania
11 April 2016

Wanamuziki wanaounda kundi la Navy Kenzo, Aika pamoja na Nahreel wamepata shavu la kuwa mabalozi wa Airtel Tanzania kupitia promotion yao ya Jipimie na Airtel Yatosha.

Katika akaunti yao ya instagram, walipost na kusema : Tunapenda kuwataarifu rasmi kama Navy Kenzo ni Ambassador wapya wa #JipimieAirtelYatosha ambayo ni bundle mpya na za kipekee wewe kama mteja unaweza kujipimia chochote utakacho iwe dakika, sms au Mb pekee au vyote tu piga *149*98# #jipimieyatosha

Weekly Top 10 songs

Kamwambie3:47
chile-one-so-lucky4:02
Buwooma2:44
Joy Is Coming3:08
Nakupenda3:12
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Paver2:55
Ssirivawo ft yven feiz2:10
Ziyakuba kabotu6:57
Top stories
- One and only
01 May
- SHUKRANI
02 May
- Jaxon Ryker Official profile
30 April


Leave your comment