Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Belle9 aeleza matunda ya menejimenti yake mpya
6 April 2016

Msanii anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki hapa nchini Tanzania na anaetamba na kibao cha ‘Burger Movie Selfie’, Belle 9 amesema kuwa menejiment yake inampa fursa ya kufanya vizuri.
Hapo mwanzo msanii huyu hakuwa na menejiment, katika mahojiano yake na Millard Ayo Belle9 alisema kuwa muda wake umefika wa yeye kuwa na menejiment. “Kwa mara ya kwanza ngoma yangu ya ‘Shauri zao’ imechezwa Trace, hakuna video yangu lishawahi kupata hiyo nafasi. Na pia nimekuwa Brand Ambassador, sikuwahi kuwa Brand Ambassador huko nyuma”, alisema Belle 9. Belle9 amekuwa Brand Ambassador wa OBAS.
Belle9 amesema kuwa mipango yake ya mwaka huu 2016 ni kuutoa muziki pale uipokuwa na kupeleka mbele zaidi.
Weekly Top 10 songs

Kamwambie3:47
chile-one-so-lucky4:02
Buwooma2:44
Joy Is Coming3:08
Nakupenda3:12
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Paver2:55
Ssirivawo ft yven feiz2:10
Ziyakuba kabotu6:57
Top stories
- One and only
01 May
- SHUKRANI
02 May
- Okello oyumu
01 May


Leave your comment