Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Kashfa za wasanii kutumia madawa ya kulevya inawachafua wasanii - AY
1 April 2016

Ambwene Yesaya ‘AY’ amesema kukithiri kwa madawa ya kulevya kwa wasanii wa kizazi kipya nchini kutashusha soko la wasanii hao kwa kukosa uaminifu. Akizungumza na gazeti la Mtanzania Alhamisi hii, AY amesema kuwa hizi kashfa za wasanii kutumia madawa ya kulevya inawachafua wasanii wa mataifa mbalimbali ili kukuza uchumi badala ya kushirikiana katika matumizi ya madawa ya kulevya.
“Kinachotakiwa kwa sasa, wasanii watumie fursa za kushirikiana na wasaniiwenye mashabiki wengi toka nje ya nchi ya nchi kwa ajili ya kujiongeza mtandao, soko na fedha zaidi, sio kujiingiza katika matumizi ya uuzaji wa dawa za kulevya”, alifafanua AY.
Chanzo:Bongo5.com
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00


Leave your comment