Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Ray C asema kiuchumi hayuko sawa, analazimika kupanda ‘daladala’.
1 April 2016

Msanii anayejulikana kwakuwa na kiuno bila mfupa Rehema Chalamila ama Ray C amekiri na kusema kuwa hali yake kiuchukmi hayuko sawa, kwahiyo analazimika kutumia usafiri wa umma ‘Daladala’.
Katika mahojiano yake na mtangazaji wa Planet Bongo alimhoji na kumuuliza Ray c kwamba kuna muda anakosa hata nauli ya kwenda kupata tiba, kwahiyo inambidi avae ninja apande kwenye daladala, Ray C alikiri na kusema, “Kiukweli jamani maisha yetu haya wasanii, yani inakubidi umuombe tu Mungu. Mtu akikuona umepanda daladala nani atanunua albam yako”.
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00


Leave your comment