Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Msanii wa nyimbo za Injii ataka kufanya kazi na Diamond.
31 March 2016

Msanii wa nyimbo za Injili nchini Angela Magoti amesema kwamba anatamani sana siku moja aweze kufanya kazi na Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnum, Rubi pamoja na Linah.
Msanii huyo ametoa ya moyoni alipokuwa akifanya mahojiano maalum katika kipindi cha eNews kinachorushwa na EATV na kubainisha wazi kwamba kuna umuhimu wa waimbaji hao kushiri kazi kumuimbia Mungu pia. ''Ninafanya strategies za kufanya kazi na Diamond Platnum kwani naamini kuna faida kubwa katika kumtumikia Mungu''Amesema Magoti.

Diamond Platnumz
Msanii huyo ameweka wazi pia kuwa na shauku ya kutengeneza wimbo na msanii wa bongo fleva Rubi pamoja na Lina kwani kuna watu wengi makanisani wanadhambi sana hivyo haoni sababu ya ni kwa nini asifanye kazi na wasanii hao kwa lengo la kumtukuza na kumwabudu Mungu.
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00


Leave your comment