Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: “Mama ndiye aliyetambua kipaji changu” – Msami
29 March 2016

Wimbo wa mabawa ni moja kati ya nyimbo zinazofanya vizuri katika media mbalimbali za hapa nchini na kubwa zaidi ni aina ya uchezaji wa wimbo huo. Hitmaker wa ‘Sound Track’ , ‘Mabawa’ ni miongoni mwa wasanii wachache hapa bongo wenye uwezo wa kuimb na kucheza kwa wakati mmoja. Msami ni msanii anayefany vizuri lakini hana mambo makuu.
Akiongea kwenye story tatu ya Planet Bongo inayorushwa na kituo cha East Afrika Radio, Msami alisema “Mama yangu ndiye mtu aliyetambua kipaji changu”. “Wakati niko mdogo nilikuwa napenda sana kucheza muziki, hata nilipokuwa nakataa kula walikuwa wanatafuta kanda ya muziki wananiwekea ndio hapo nitaweza kula”, aliongeza Msami
Kama ulipitwa na video ya ‘Mabawa’ ya Msami, hii hapa:
Chanzo: Bongo5.com
Weekly Top 10 songs

Kamwambie3:47
chile-one-so-lucky4:02
Buwooma2:44
Joy Is Coming3:08
Nakupenda3:12
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Paver2:55
Ssirivawo ft yven feiz2:10
Ziyakuba kabotu6:57
Top stories
- One and only
01 May
- SHUKRANI
02 May
- Okello oyumu
01 May


Leave your comment