TANZANIA: “Mapenzi na Pesa, bora pesa” – Vanessa Mdee

 

Kwenye kipindi cha Friday Night Live ambacho kinarushwa na East Africa Television na East Africa Radio, Vanessa ametoa jibu kuwa yeye anapenda pesa zaidi, kuliko mapenzi, na kuibua hisia kuwa huenda hata kwa mwandani wa ambaye pia ni msanii anayefanya poa kwenye bongo Fleva Juma Jux, yupo kipesa zaidi na si Mapenzi.

Mtangazaji wa kipindi hiko alisikika akimuuliza vanessa maswali ambayo alitakiwa kujibu ndani ya sekunde, na ndipo alipotoa jibu hilo kuwa anapenda pesa zaidi.

Sam: Unachukua muda gani kuvaa getting ready?

Vanessa: 30 minutes

Sam: Diamond au pulse?

Vanessa: Diamond

Sam: Heels au sneakers?

Vanessa: Sneakers

Sam: Dresses au trousers?

Vanessa:Trouser

Sam: Icecream au chocolate?

Vanessa:Chocolate

Sam:Nyama au Salad?

Vanessa:Nyama

Sam: Diamond au Alikiba?

Vanessa: Vanessa

Sam: Bags au purses?

Vanessa: Bags

Sam: Ugali au wali?

Vanessa: Ugali

Sam: Mapenzi au pesa?

Vanessa: Pesa

Pia katika maswali hayo Vannesa Mdee alishindwa kuweka wasi ni msanii yupi anamkubali zaidi kati ya Diamond na Alikiba, baada ya kuulizwa kuhusu wao na kuamua kujitaja mwenyewe.

 

Chanzo: Eatv.com

 

 

Leave your comment