Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Vanessa mdee aja na ‘Niroge’
24 March 2016

Msanii wa muziki ya bongo fleva nchini Tanzania, Vanessa Mdee anatarajia kutoa kitu kipya kiitwacho ‘Niroge’.

Wimbo huu umetoka leo hii, na umetayarishwa na Nahreel kutoka kwenye studio za The Industry. Nyimbo hii inapatikana kwenye Albamu yake ya kwanza iitwayo, “Money Monday”.
Weekly Top 10 songs
Top stories
- One and only
01 May
- SHUKRANI
02 May
- Okello oyumu
01 May




Leave your comment