Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Vanessa mdee aja na ‘Niroge’
24 March 2016

Msanii wa muziki ya bongo fleva nchini Tanzania, Vanessa Mdee anatarajia kutoa kitu kipya kiitwacho ‘Niroge’.

Wimbo huu umetoka leo hii, na umetayarishwa na Nahreel kutoka kwenye studio za The Industry. Nyimbo hii inapatikana kwenye Albamu yake ya kwanza iitwayo, “Money Monday”.
Weekly Top 10 songs
Top stories
- OXEN MUSIC
29 July
- Mytee boy - SURVIVE
28 July
- Abakuchinsali
29 July




Leave your comment