Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Diamond amfungulia milango Akothee
23 March 2016

Baada ya Mwanadada Akothee kutoka Kenya kupata nafasi ya kumshirikisha Diamond Platnumz kwenye ngoma ya “SWEET LOVE” na kufanya vizuri ndani ya muda mfupi kwenye ‘MEDIA’. Jambo ambalo limemfungilia milango mwadada huyo kuanza kupata kolabo za wasanii kutoka nje ya Kenya.
Mwanadada Akothee wa Miondoko ya RNB wiki hii (jana) ametambulisha kibao kipya cha “Give it To Me” akimshirikisha nguli mwingine kutoka Afrika magharibi (Nigeria) Mr Flavour

Chanzo: Mtembezi.com
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00


Leave your comment