Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Diamond amfungulia milango Akothee
23 March 2016

Baada ya Mwanadada Akothee kutoka Kenya kupata nafasi ya kumshirikisha Diamond Platnumz kwenye ngoma ya “SWEET LOVE” na kufanya vizuri ndani ya muda mfupi kwenye ‘MEDIA’. Jambo ambalo limemfungilia milango mwadada huyo kuanza kupata kolabo za wasanii kutoka nje ya Kenya.
Mwanadada Akothee wa Miondoko ya RNB wiki hii (jana) ametambulisha kibao kipya cha “Give it To Me” akimshirikisha nguli mwingine kutoka Afrika magharibi (Nigeria) Mr Flavour

Chanzo: Mtembezi.com
Weekly Top 10 songs
Top stories
- One and only
01 May
- SHUKRANI
02 May
- Okello oyumu
01 May




Leave your comment