Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Harmonize awa Balozi wa WWF
22 March 2016

Muimbaji wa ‘Bado’ Harmonize akteuliwa kuwa Balozi wa Taasisi ya utunzaji mazingira World Wide Fund For Nature ‘WWF’ kwa Tanzania.

Harmonize akisaini mkataba
Muimbaji huyo alisaini mkataba wa ubalozi huo wiki iliyopita kwenye Taasisi hiyo zilizopo Mikocheni, Dar Es Salaam. Kama sehemu ya ubalozi huo, Harmonize alihudhuria makabidhiano ya mradi wa maji unaotokana na nishati ya jua huko Kigamboni Jumamosu iliyopita. Kabla ya Harmonize Ubalozi huo ulienda Kwa Rich Mavoko.

Harmonize akiwa na Timu ya WWF
Chanzo: Bongo5.com
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00


Leave your comment