TANZANIA: Harmonize awa Balozi wa WWF

 

Muimbaji wa ‘Bado’ Harmonize akteuliwa kuwa Balozi wa Taasisi ya utunzaji mazingira World Wide Fund For Nature ‘WWF’ kwa Tanzania.

 

 

 

Harmonize akisaini mkataba

 

Muimbaji huyo alisaini mkataba wa ubalozi huo wiki iliyopita kwenye Taasisi hiyo zilizopo Mikocheni, Dar Es Salaam. Kama sehemu ya ubalozi huo, Harmonize alihudhuria makabidhiano ya mradi wa maji unaotokana na nishati ya jua huko Kigamboni  Jumamosu iliyopita. Kabla ya Harmonize Ubalozi huo ulienda Kwa Rich Mavoko.

 

 

Harmonize akiwa na Timu ya WWF

 

 

Chanzo: Bongo5.com

 

Leave your comment