Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Jua sababu zilizomfanya Fid Q kushoot video nje.
18 March 2016

Baada ya kupambana kwenye muziki kwa miaka mingi “Walk It Off” imemtambulisha vizuri Fareed Kubanda aka Fid Q kwenye anga za kimataifa. Akiongea kwenye kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na Clouds Tv, Fid Q amesema, “Nafanya muziki kwa miaka 16 sikuwahi kuwa na video bora kama “Walk It Off”. Nilienda kufanya video Afrika Kusini ili nipate kitu kizuri na tofauti.Unaweza kuona video hiyo ndiyo video bora kuliko zote nilizozifanya.
Unaweza kutaza video hii hapa:
Chanzo: Bongo5.com
Weekly Top 10 songs
Top stories
- OXEN MUSIC
29 July
- Mytee boy - SURVIVE
28 July
- Abakuchinsali
29 July




Leave your comment