Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Jua sababu zilizomfanya Fid Q kushoot video nje.
18 March 2016

Baada ya kupambana kwenye muziki kwa miaka mingi “Walk It Off” imemtambulisha vizuri Fareed Kubanda aka Fid Q kwenye anga za kimataifa. Akiongea kwenye kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na Clouds Tv, Fid Q amesema, “Nafanya muziki kwa miaka 16 sikuwahi kuwa na video bora kama “Walk It Off”. Nilienda kufanya video Afrika Kusini ili nipate kitu kizuri na tofauti.Unaweza kuona video hiyo ndiyo video bora kuliko zote nilizozifanya.
Unaweza kutaza video hii hapa:
Chanzo: Bongo5.com
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00


Leave your comment