Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Clicker ndani ya ‘Huu Mwaka’
16 March 2016

Muziki wa Tanzania unazidi kukua siku hadi siku, vijana wengi wamekua wamejikita katika tasnia ya muziki kwa kudhumuni la kutoka kimaisha. Mifano mingi tumeiona kwa wasanii kama Diamond Platnumz, Ommy Dimpoz, AY, MwanaFa, Navy Kenzo, Vanessa Mdee na wengineo wengi.
Kundi la Millan Dollar Boys “MDB” limemtoa kijana mpya mwenye kipaji cha kurap, kuigiza na ni mtunzi wa nyimbo, anaitwa Clicker. Msanii huyo ametoa kibao chake kiitwacho ‘Huu Mwaka’ alichomshirikisha Mr Blue. Ngoma hiyo imetayarisha na Rush Don.
Unaweza kuisikiliza nyimbo hii mpya hapa:
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Trending song
24 May
- ICE PRINCESS SONGS
24 May


Leave your comment