Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Baraka aelezea sababu ya kutokufanyika kwa kollabo mbili ikiwemo ya staa wa Nigeria.
15 March 2016

Najua nina watu wangu ambao mnafuatilia muziki wa Baraka Da Prince kama unakumbuka mwaka jana aliwahi kufunguka kwenye vyombo mbalimbali kuhusu kufanya collabo na staa Eddy Kenzo wa Uganda na Patoranking wa Nigeria.
Sasa leo March 15 alipokutana na ripota wa millardayo.com ametoa sababu ya kilichopeleka kwa kutofanyika kwa collabo hizo mbili na kusema…’Ni kweli Collabo zilitakiwa zifanyike lakini sema baada ya kuwa na uongozi mpya sikuweza kufanya collabo na Eddy Kenzo na Patoranking hiyo ndio ilikuwa sababu kubwa na kila kitu kilikuwa kimefanyika kilichobaki ni mimi tu kufanya nao sema kilichosababisha ni kuwa na uongozi mpya kwani uongozi wa zamani ndio walikuwa wamepanga collabo hizo‘Baraka Da Prince
Chanzo: Millardayo.com
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Trending song
24 May
- ICE PRINCESS SONGS
24 May


Leave your comment