Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Mike T ataja changamoto za kitambi chake
15 March 2016

Mkongwe wa michano kwenye tasnia ya muziki nchini maarufu kama Mike Tee amesema licha ya kubadilika sana siku hizi katika Muziki anaofanya lakini mwili wake unampa changamoto hasa kwenye kucheza awapo jukwaani tofauti na ilivyokuwa zamani.
Katika mahojiano yake na kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio Mike Tee amesema moja ya vitu anavyopambana navyo kwasasa ni kitambi chake ikiwepo kufanya mazoezi ili kuepuka kuishiwa pumzi awapo jukwaani.
Chanzo: Mtembezi.com
Weekly Top 10 songs
Top stories
- One and only
01 May
- SHUKRANI
02 May
- DJ GALIK PRO
02 May




Leave your comment