Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Mike T ataja changamoto za kitambi chake
15 March 2016

Mkongwe wa michano kwenye tasnia ya muziki nchini maarufu kama Mike Tee amesema licha ya kubadilika sana siku hizi katika Muziki anaofanya lakini mwili wake unampa changamoto hasa kwenye kucheza awapo jukwaani tofauti na ilivyokuwa zamani.
Katika mahojiano yake na kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio Mike Tee amesema moja ya vitu anavyopambana navyo kwasasa ni kitambi chake ikiwepo kufanya mazoezi ili kuepuka kuishiwa pumzi awapo jukwaani.
Chanzo: Mtembezi.com
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Trending song
24 May
- ICE PRINCESS SONGS
24 May


Leave your comment