Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Ushaniroga – Makomando
14 March 2016

Wasanii wa kundi la makomando wametoa ngoma mpya iitwayo ‘Ushaniroga’. Makomandoo ni wanamuziki waliotokea katika jumba la vipaji liitwalo THT (Tanzania House of Talent).

Fredy Wayne (Kushoto) akiwa na Mucky
Na niwanamuziki walitambulika kwa kuwa na kipaji kikubwa cha kuimba na kucheza. Makomandoo wametoa nyimbo kama ‘Kibaba’, ‘Kibega’, ‘Mama wee’ waliomshirikisha msanii Juma Nature na nyinginezo nyingi. Kundi hilo linaundwa na wasanii wawili nao ni Mucky pamoja na Fred Wayne.
Unaweza kusikiliza nyimbo hii hapa:
Weekly Top 10 songs
Top stories
- OXEN MUSIC
29 July
- Mytee boy - SURVIVE
28 July
- Abakuchinsali
29 July




Leave your comment