Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Diamond ndiye baba halali wa Tiffa.
13 March 2016

Msanii anayeitambulisha vizuri Tanzania katika anga za kimataifa, Naseeb Abdul hivi karibuni amewanyamazisha midomo wale waliomdhania kuwwa yeye sio baba halali wa Latiffa.
Msanii huyo pamoja na mkewe Zari Hassan, walilazimika kusafiri hadi Afrika Kusini kufanya vipimo hivyo kwani ni tetesi nyingi zilisikika kuwa Diamond si baba mzazi wa mtoto huyo.
Vipimo vilionyesha kuwa Diamond Platnumz ndiye baba halali wa Latiffa Dangote. Diamond aliangukwa na machozi mengi baada ya kupata majibu hayo, Kilichokuwa kinamuuma zaidi ni kwamba tetesi zilisikika na kusema kuwa inawezekana motto huyo akawa ni wa mume wa zamani wa Zari, Ivan Ssemwaga.
Damond alipoulizwa ni kwanini alilia pale alipopokea majibu hayo, alijibu akisema kuwa,”Kulia haikuwa tatizo. Ulitegemea ningefanyaje wakati wakupokea majibu niliyokuwa nikiyasubiri kwa dhati? Hasa kwa kipindi hiki ambacho jamii wanadhani mimi sio baba halali wa Latiffa?”.
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Trending song
24 May
- ICE PRINCESS SONGS
24 May


Leave your comment