Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Lady Jay Dee aamua kutulia na Mpenzi wake mpya.
9 March 2016

Mwanamuziki mkongwe katika tasnia ya muziki wa nchini Tanzania, Judith Wambura ameamua kutulia na mpenzi wake mpya mara baada ya msanii huyo kutengana na aliyekuwaa mume wake Gardner G Habash. Katika mazungumzo na mtu wake wa karibu kupitia gazeti la Risasi Nchini amesema kuwa Jay Dee kwa sasa ameamua kutulia na mpenzi wake mpya. "Jay Dee amepata mpenzi mpya muda kidogo, na kwa sasa yuko huru na ndoa inaweza kuwa mwaka huu", alisema tu wake wa karibu. Msanii huyo aliashana na aliyekuwa mume wake mwaka 2014.
Weekly Top 10 songs
Top stories
- OXEN MUSIC
29 July
- Mytee boy - SURVIVE
28 July
- Abakuchinsali
29 July




Leave your comment