Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Lady Jay Dee aamua kutulia na Mpenzi wake mpya.
9 March 2016

Mwanamuziki mkongwe katika tasnia ya muziki wa nchini Tanzania, Judith Wambura ameamua kutulia na mpenzi wake mpya mara baada ya msanii huyo kutengana na aliyekuwaa mume wake Gardner G Habash. Katika mazungumzo na mtu wake wa karibu kupitia gazeti la Risasi Nchini amesema kuwa Jay Dee kwa sasa ameamua kutulia na mpenzi wake mpya. "Jay Dee amepata mpenzi mpya muda kidogo, na kwa sasa yuko huru na ndoa inaweza kuwa mwaka huu", alisema tu wake wa karibu. Msanii huyo aliashana na aliyekuwa mume wake mwaka 2014.
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Trending song
24 May
- ICE PRINCESS SONGS
24 May


Leave your comment