Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: “Siwezi kumfuata Said Fella, akitaka aje” - Juma Nature
4 March 2016

Msanii wa muziki wa bongofleva Juma Nature amesikika akisema kuwa hawezi kumtafuta Saidi Fella ambaye alikua Manger wake kipindi cha nyuma, ili afanye nae kazi kama anaweza amtafute yeye.

Said Fella 'Mkubwa Fella'
“Mimi siwezi kwejnda kumuomba Fella nifanye nae kazi, ila kama yeye anataka kufanya biashara aje tukae chini tuandikishiane mkataba unaoeleweka hapo sawa lakini hivihivi sina mpango wa kwenda kwake, maana najiamini na mambo yankwenda vizuri” alisema Juma Nature. Kwa upande mwingine Juma Nature amesema kuwa amekwisha rekodi nyimbo yake na Shetta, huku akidai kwamba video itakua habari ya jiji.
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00


Leave your comment