Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: ‘Make me sing’ yafanya maajabu tena
4 March 2016

Nyimbo ya ‘make me sing’ inayoendelea kutamba ndani na nje ya mipaka ya Afrika imezidi kujidhihirisha dhahiri kuwa inabamba kote nchi. Baada ya hivi karibuni kutimiza siku kumi ndani ya mtandao wa YouTube, na pia kuwepo katika list za Trace, nchini Tanzania nayo haikubaki nyuma. Kwenye list za nyimbo kali 20 zinazotolewa na Cosota imeshika namba moja. Nyimbo hiyo imeimbwa na A.K.A akishirikiana Diamond Platnumz imetengenezwa na Tudd Thomas na kuongozwa na Nicky.

Weekly Top 10 songs
Top stories
- One and only
01 May
- SHUKRANI
02 May
- DJ GALIK PRO
02 May




Leave your comment