Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Vanessa kumuingiza Alaine kwenye Money Monday
3 March 2016

Msanii wa nyimbo za Bongo Fleva Vanessa Mdee anampango wa kufanya muziki na msanii kutoka Jamica Alaine ili kukamilisha albamu yake ya kwanza ya ‘Money Monday’.
Vanessa katika mazungumzo amedai kuwa yeye na msanii huyo wa Jamaica Alaine watafanya kazi kwa pamoja ili kukamilisha albamu yake itakayotoka mwaka huu. Amesema tangu waonane kwenye Fiesta mwaka 2013, wamekuwa marafiki na wanawasiliana kama mtu na dada yake.

Alaine
Vanessa kwa upande mwingine anasema kuikailisha albamu hiyo ni kitu kinachompeleka race sana. “ Yaani acha asikumbie mtu, kabla hujarelease albamu lazima ukonde kidogo. And am not rushing it sometimes Nahreel ananiambia ‘take days off stop thinking bout the process, just do it.’ It’s true he’s right”.
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00


Leave your comment