Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: “Simshauri mpenzi wangu kufanya muziki” – Young Killer
3 March 2016

Msanii wa miondoko ya hip hop amehojiwa katika studio za Bongo 5 na kusema kuwa hamshauri mpenzi wake anayetambulika kwa jina la Halimaty a.k.a ‘Miss Hip Hop”.

Katika mahojiano hayo Young Killer alisema kuwa mpenzi wake hawezi kuchana na ndio maana ameshindwa kumuingiza kwenye muziki.
“Sijawahi kufikia kumuingiza mpenzi wangu kwenye muziki” alisema Young Killer.
Aliongez na kusema “Kwanza hawezi kuchana, kwahiyo kitu kama hicho haiwezekani lakini najua anapenda sna muziki ndio maana unaniona mara nyingi niko nae studio”.
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
ONLY YOU JESUS5:44
Melody Ft Tunche the best3:20
Kupenda nishapenda zaani3:12
Nigina2:27
R.I.P Manu4:52
CHAMPION GAL3:00
Zabike2:50
Haipo Sawa (Feat. Don breezy)4:13
Wano Wano2:15
Top stories
- OXEN MUSIC
29 July
- Mytee boy - SURVIVE
28 July
- Abakuchinsali
29 July


Leave your comment