Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA : Diamond kuingiza ngoma mbili kwenye BBC chat ya Radio One Extra!
29 February 2016

Msanii Diamond Platnumz amefanikiwa kuingiza nyimbo mbili kwenye Top 5 za Afro Boss Airline DNA za kipindi cha Destination Africa kinachotangazwa na DJ Edu kupitia BBC Radio One Extra.
Ambapo nafasi ya kwanza ni wimbo aliofanya na rapa wa Afrika Kusini, AKA ‘Make Me Sing’ na Zigo Remix aliyoshirikishwa na AY imekata nafasi ya tatu.


Zigo Remix kabla ya kushika nafasi ya tatu ilishika nafasi ya kwanza , na huku jumatatu ya leo Harmonize ameachia wimbo mpya akiwa na Diamond Platnumz unaenda kwa jina la ‘Bado’.

Weekly Top 10 songs

omelette4:28
ONLY YOU JESUS5:44
Melody Ft Tunche the best3:20
Kupenda nishapenda zaani3:12
Nigina2:27
R.I.P Manu4:52
CHAMPION GAL3:00
Zabike2:50
Haipo Sawa (Feat. Don breezy)4:13
Wano Wano2:15
Top stories
- OXEN MUSIC
29 July
- Mytee boy - SURVIVE
28 July
- Abakuchinsali
29 July


Leave your comment