Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
Ukimya wangu ulinipa uwoga kurudi – Dogo Janja!
29 February 2016

Rapa Dogo Janja kutoka Tip Top Connection amesema wimbo wake mpya wa ‘My Life’ ni muziki alioufanya kwa kuwa alikuwa anatafuta njia ya kurudi kwenye muziki baada ya ukimya wa muda mrefu.
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio ijumaa iliyopita, Dogo Janja alisema likuwa na wasiwasi kabla ya kuutoa wimbo huo.
“Kitu ambacho kilinifanya nichange style, nilikuwa nafukiria jinsi ya kurudi, pia nilikuwa muoga nikawa narekodi napeleka, narekodi napeleka, kuna jamaa anaitwa Cal kutoka Norway ni producer alikuja Bongo sasa walikuwa wamenitumia beat, nikaenda studio nikajikuta nimepata melody, michano, nikawatumia michano management yangu wakaona hii tuiboreshe , ndio ngoma ikatoka”, alisema Dogo Janja.
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
ONLY YOU JESUS5:44
Melody Ft Tunche the best3:20
Kupenda nishapenda zaani3:12
Nigina2:27
R.I.P Manu4:52
CHAMPION GAL3:00
Zabike2:50
Haipo Sawa (Feat. Don breezy)4:13
Wano Wano2:15
Top stories
- OXEN MUSIC
29 July
- Mytee boy - SURVIVE
28 July
- Abakuchinsali
29 July


Leave your comment