Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA:Diamond adaiwa kukopi idea ya video
26 February 2016

Msanii kabambe anayetambulika ndani na nje ya bara la Afrika Naseeb Abdallah "Diamond Platnumz" adaiwa kuiga idea ya wimbo wa 'Make me sing' kutoka kwenye nyimbo ya 'Got money' ya Lil Wayne.

Kutokana taarifa hizo Diamond ambaye ni baba wa mtoto Latifa amejibu na kusema kuwa, "watu wanashindwa kuelewa kila kitu ambacho kinafanyika katika muziki sasa kwenye video, kwenye kuimba, mashairi na vyote vilishafanyika, vimeshaimbwa ni kama marudio lakini kila mtu anarudia kwa namna yake anayoijua yeye." Nyimbo hiyo ambayo imekua ni gumzo barani Afrika na kutazamwa mara milioni 1 mtandaoni kupitia YouTube. 'Make me sing' ilitayarishwa na Tudd Thomas na kutengezwa na Nicky.
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Anthem
25 May


Leave your comment