Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Navy kenzo "Lights up tour" jumapili hii Maisha Basement..
25 February 2016

Navy Kenzo hivi karibuni waliachia video yao mpya ya ‘kamatia’, na hivi sasa wamekujana tour walioipa jina la Lights up Tour. Ambapo wanaanzia Maisha Basement jumapili hii ya tarehe 28 februari kwa kiingilio cha 10000/= tu.
Navy Kenzo ni kundi linaloundwa na wasanii wawili Aika na Nahreel, ambao wanabamba na nyimbo kama Game,Chelewa, Moyoni na Viza na nyinginezo nyingi. Nyimbo ya kamatia ni nimbo iliyotokea kuwa gumzo mitaani kuanzia nyimbo yenyewe, beats, pamoja na video kiujumla..
Kwa kupitia ukurasa wao wa Instagram wamepost taarifa hii kwa mashabiki wao na kuandika; “kamaatachini mkamatie chini #lightuptour ni jumapili hii pale #maishabasement usikose kwasababu na wao hawataki kukukosa”

Weekly Top 10 songs
Top stories
- SHUKRANI
02 May
- One and only
01 May
- DJ GALIK PRO
02 May




Leave your comment