Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Ray C alalamikia magazeti ya udaku jinsi yanavyomuumiza mama yake!
22 February 2016

Mwanamuziki Rehema Chalamila maarufu kama Ray C amesema mama yake amekuwa akipatwa na presha mara kwa mara kutokana na habari anazoziona kwenye magazeti ya udaku kwamba mwanaye amerudia matumizi ya dawa za kulevya.
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Television, Ray C amesema mama yake hana amani kutokana na mambo yanayoandikwa na magazeti ya udaku.
“Mimi naweza nikasema nakushtaki, wewe una hela zaidi na unaweza ukanishinda, your powerful get a gun watu wanifyatue na wampige na mama yangu, maana mama yangu yupo hospitali na ana presha kwasababu ya gazeti lake”, alisema Ray C.
Wiki kadhaa zilizopita gazeti la Ijumaa liliandika habari kuwa mwanadada huyo alionekana mazingira fulani ambayo yanadaiwa kupatikana madawa ya kulevya.

Weekly Top 10 songs

omelette4:28
ONLY YOU JESUS5:44
Melody Ft Tunche the best3:20
Kupenda nishapenda zaani3:12
Nigina2:27
R.I.P Manu4:52
CHAMPION GAL3:00
Zabike2:50
Haipo Sawa (Feat. Don breezy)4:13
Wano Wano2:15
Top stories
- OXEN MUSIC
29 July
- Mytee boy - SURVIVE
28 July
- Abakuchinsali
29 July


Leave your comment