Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Mwana FA hufanya boxing kwa kujifurahisha!
19 February 2016

Msanii wa muziki wa Hip hop, Mwana FA ameeleza kuwa hana nia tena ya kuendelea kucheza boxing kwasababu kufanya hivyo kunaweza kumdhuru.
Msanii huyo ameweka wazi kuwa ni mizuka tu kutoka na kuzungukwa na mchezo huo ukizingatia mtaani kwao huko Tanga walikuwa wakicheza mchezo huo.
“Nilitaka kupanda ulingoni kabisa lakini nikafikiria nikaona dah, unaweza ukakalishwa, ukawa unauza magazeti mwaka mzima ..sina sababu ya kufanya boxing kama proffesion… kila mtu mtaani kwetu anapigana ngumi kwaiyo ilikuwa ni mchezo ya utakutana nao tu ukikua”, alisema Mwana Fa na kuongeza kwa sasa anafanya kwa kujifurahisha.
Source: Clouds FM
Weekly Top 10 songs

Hatuachani8:47
Every push.2:01
Blessings Flow2:26
Daddy2:50
ONLY YOU JESUS5:44
Nigina2:27
Boom party3:47
Bend and pouse2:54
Blessed & Alive4:06
Temutuloga3:00
Top stories
- DA MOSQID SILENCES LANGO ARTISTS
12 August
- Faddymabeat ft kifacenuru-mdogomdogo
12 August
- New hitsong
12 August


Leave your comment