Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Mwana FA hufanya boxing kwa kujifurahisha!
19 February 2016

Msanii wa muziki wa Hip hop, Mwana FA ameeleza kuwa hana nia tena ya kuendelea kucheza boxing kwasababu kufanya hivyo kunaweza kumdhuru.
Msanii huyo ameweka wazi kuwa ni mizuka tu kutoka na kuzungukwa na mchezo huo ukizingatia mtaani kwao huko Tanga walikuwa wakicheza mchezo huo.
“Nilitaka kupanda ulingoni kabisa lakini nikafikiria nikaona dah, unaweza ukakalishwa, ukawa unauza magazeti mwaka mzima ..sina sababu ya kufanya boxing kama proffesion… kila mtu mtaani kwetu anapigana ngumi kwaiyo ilikuwa ni mchezo ya utakutana nao tu ukikua”, alisema Mwana Fa na kuongeza kwa sasa anafanya kwa kujifurahisha.
Source: Clouds FM
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
ONLY YOU JESUS5:44
Kyuma Radio and weasel ft Spice Diana4:07
CHAMPION GAL3:00
Kupenda nishapenda zaani3:12
Nigina2:27
KIDUCHU2:12
Melody Ft Tunche the best3:20
Every push.2:01
MISONZI2:25
Top stories
- Holy Boy (holyb374)
23 July
- My hood
23 July
- Get New Hit Songs From Mock
23 July


Leave your comment