Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Wema ayaandika haya baada ya kuharibika kwa ujauzito wake!
18 February 2016

Mrembo toka kiwanda cha Bongo movie na aliyekuwa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu athibitisha kuharibika kwa ujauzito wake na kuthibitisha kuhusu suala hilo.
Taarifa hiyo ilianza kusambaa baada ya mpenzi wake Idris Sultan kuandika ujumbe kwa kupoteza watoto wake mapacha na waliokuwa tumboni bado.
Kupitia Instagram Wema Sepetu ameandika;

Mungu hutoa na hutwaa, pole sana Wema.
Weekly Top 10 songs
Top stories
- SHUKRANI
02 May
- DJ GALIK PRO
02 May




Leave your comment