Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Kampuni ya Unity Entertainment haisimamii wasanii – AY
17 February 2016

Msanii wa Hiphop nchini, Ambwene Yesaya ambaye ni CEO wa kampuni ya Unity Entertainment amesema kampuni yake haisimamii wasanii kama wengi wanavyodhani.
AY ameyasema hayo kwenye 255 ya XXL ya Clouds FM Jumanne hii, alisema Unity ni kampuni ya uwakala.
“Unity haisimamii wasanii”, alisema AY.
“Tuna focus kwenye kona nyingine zaidi, kutengeneza matangazo na kuwa wakala wa kazi zingine za muziki, kuconnect wasanii, kuleta waanii kutoka nje, kuconnect na directors wanaoweza kufanya matangazo ya TV”, aliongeza AY.
AY alisema pia kuwa kuna kampuni mpya anaanzisha ambayo itakuwa inasimamia wasanii.
“Kuna kampuni nyingine inakuja na itasimamia wasanii, unajua unapoamua kumsimamia msanii unatakiwa uhakikishe anasonga mbele”,alisema AY.
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Anthem
25 May


Leave your comment