Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Dayna Nyange asema hajawahi kufikiria kudate na wasanii..
15 February 2016

Msanii wa muziki, Dayna Nyange amesema hawezi kutoka kimapenzi na wasanii wa bongo kutokana na kuwa na wivu.
Mrembo huyo ambaye pia ni mzazi wa mtoto mmoja aitwaye ‘Rahma’, amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa hapendi kuwa na mahusiano na mastaa kwasababu wengi wana mambo mengi.
“Sijawahi kufikiria ‘kudate’ na wasanii kwasababu nawaogopa, ni pasua kichwa. Mimi nina wivu sana mazingira tuliyonayo nadhani nitakonda mara mia”, alisema Dayna Nyange.
Dayna Nyange ni kati ya wasanii wakike ambao hwapendi kuweka mambo ya mahusiano yao public.
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Anthem
25 May


Leave your comment