Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Tutetee maslahi ya jamii kupitia muziki wetu – Mwana FA
15 February 2016
<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1455537290_9422_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Mwanamuziki wa Hip Hop, Mwana FA amesema hawezi kuwaunga mkono wasanii wanaopoteza misingi ya muziki huo kwa madai ya kuweka mbele maslahi na kuacha changamoto zinazoikabili jamii.</p>
<p style="text-align: justify;">Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Mwana FA alisema kuwa wasanii wanataka kufanya vitu ambavyo hawana uhakika navyo kama vinaingiza fedha nyingi.</p>
<p style="text-align: justify;">“Muziki umebadilika sana, umetoka katika ile misingi iliyowekwa sababu zake kuwapo, umekuwa starehe na hela peke ake”, alisema FA.</p>
<p style="text-align: justify;">“Yaani ile misingi imebadilika sana, na vitu vingi ambavyo vilikuwa vinapingwa vilionekana vya kipumbavu mwanzoni huko, sasa hivi ndio kama mtindo, watu wanafanya watakavyo kwasababu wanataka kutengeneza pesa tu..”, aliongeza.</p>
<p style="text-align: justify;">Pamoja na hayo, Mwana FA amesema anajua muziki umekuwa biashara lakini ni lazima misingi izingatiwe.</p>
<p style="text-align: justify;">“Muziki umekuwa biashara kiukweli, kama unaleta hela kwanini watu wachukie hela zao lakini ninachopinga ni kuipoteza kabisa misingi ya Hip Hop kwasababu ye hela”.</p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Mwanamuziki wa Hip Hop, Mwana FA amesema hawezi kuwaunga mkono wasanii wanaopoteza misingi ya muziki huo kwa madai ya kuweka mbele maslahi na kuacha changamoto zinazoikabili jamii.</p>
<p style="text-align: justify;">Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Mwana FA alisema kuwa wasanii wanataka kufanya vitu ambavyo hawana uhakika navyo kama vinaingiza fedha nyingi.</p>
<p style="text-align: justify;">“Muziki umebadilika sana, umetoka katika ile misingi iliyowekwa sababu zake kuwapo, umekuwa starehe na hela peke ake”, alisema FA.</p>
<p style="text-align: justify;">“Yaani ile misingi imebadilika sana, na vitu vingi ambavyo vilikuwa vinapingwa vilionekana vya kipumbavu mwanzoni huko, sasa hivi ndio kama mtindo, watu wanafanya watakavyo kwasababu wanataka kutengeneza pesa tu..”, aliongeza.</p>
<p style="text-align: justify;">Pamoja na hayo, Mwana FA amesema anajua muziki umekuwa biashara lakini ni lazima misingi izingatiwe.</p>
<p style="text-align: justify;">“Muziki umekuwa biashara kiukweli, kama unaleta hela kwanini watu wachukie hela zao lakini ninachopinga ni kuipoteza kabisa misingi ya Hip Hop kwasababu ye hela”.</p>
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Anthem
25 May


Leave your comment