Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Nay wa Mitego aonywa na ex wake baada ya kumuweka kama Valentine wake!
15 February 2016
<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1455526512_5657_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Katika siku ya Valentine kila mtu huchagua yule amtakaye kuwa valentine wake, basi msanii Nay wa Mitego aliamua kumchagua aliyekuwa ex wake, suala ambalo ex wake huyo Shamsa hakufurahishwa nalo kabisa.</p>
<p style="text-align: justify;">Mrembo huyo hakufurahishwa na kitendo cha Nay kumpost katika ukurasa wake wa Instagram kutokana na kwamba yeye kwa sasa yupo mikononi mwa mwanaume mwingine, hivyo Shamsa aliamua kuandika hivi;</p>
<p style="text-align: justify;"><em>“Naona mambo yanaendelea kuvumishwa kwamba nimerudiana na Nay. Pls pls nina maisha yangu na mwanaume ambaye nampenda na kumuheshimu …sijarudiana na Nay na haiwezi kutokea kabisaaa”, aliandika Shamsa.</em></p>
<p style="text-align: justify;"><em>“Nay una ndugu na marafiki wengi wakuwapost siku ya leo, haikuwa muhimu unipost mimi. Nilishukuru Mungu watu walishasahau kuhusu mimi na ww but naona umeyataka kuyafufua. Sipendi scandal na si maisha yangu kutafuta kiki za kijinga. KAZI YANGU NDO INAYONITAMBULISHA..PLS TUHESHIMIANE”</em>, aliongeza Shamsa.</p>
<p style="text-align: justify;">Shamsa Ford na rapa Naya Wa Mitego waliwahi kuwa na mahusiano yaliyodumu kwa muda mfupi tu.</p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Katika siku ya Valentine kila mtu huchagua yule amtakaye kuwa valentine wake, basi msanii Nay wa Mitego aliamua kumchagua aliyekuwa ex wake, suala ambalo ex wake huyo Shamsa hakufurahishwa nalo kabisa.</p>
<p style="text-align: justify;">Mrembo huyo hakufurahishwa na kitendo cha Nay kumpost katika ukurasa wake wa Instagram kutokana na kwamba yeye kwa sasa yupo mikononi mwa mwanaume mwingine, hivyo Shamsa aliamua kuandika hivi;</p>
<p style="text-align: justify;"><em>“Naona mambo yanaendelea kuvumishwa kwamba nimerudiana na Nay. Pls pls nina maisha yangu na mwanaume ambaye nampenda na kumuheshimu …sijarudiana na Nay na haiwezi kutokea kabisaaa”, aliandika Shamsa.</em></p>
<p style="text-align: justify;"><em>“Nay una ndugu na marafiki wengi wakuwapost siku ya leo, haikuwa muhimu unipost mimi. Nilishukuru Mungu watu walishasahau kuhusu mimi na ww but naona umeyataka kuyafufua. Sipendi scandal na si maisha yangu kutafuta kiki za kijinga. KAZI YANGU NDO INAYONITAMBULISHA..PLS TUHESHIMIANE”</em>, aliongeza Shamsa.</p>
<p style="text-align: justify;">Shamsa Ford na rapa Naya Wa Mitego waliwahi kuwa na mahusiano yaliyodumu kwa muda mfupi tu.</p>
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Anthem
25 May


Leave your comment