Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Mpoki ajiunga na timu E FM Redio!
12 February 2016

Mkurugenzi wa E FM, Francis Ciza akimkaribisha Mpoki kwenye timu yao
Mchekeshaji maarufu wa Orijino Comedy, Silvester Mjuni anayefahamika kwa jina la Mpoki amejiunga na kituo cha redio cha E FM.
Muigizaji huyo na muimbaji anakuwa miongoni mwa watangazaji wa kipindi cha UBAONI kinachotangazwa na Gadner G. Habash akishirikiana na Bikira Wa Kisukuma (Seth). Kipindi hicho kinaruka hewani kila siku kuanzia saa 9:00 alasiri hadi saa 1:00 jioni.
Kituo hicho cha EFM kilianza kurusha matangazo yake mwaka 2015, na kinazidi kushika kasi kwa matangazo mazuri yaliyochochewa na bipindi vyenye ubunifu ndani yake.Pia kwa kuajiri watangazaji maarufu kama Maulid Kitenge, Dina Marious na wengine wengi, huku nae Mpoki akiongezeka katika timu hiyo.
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
ONLY YOU JESUS5:44
Melody Ft Tunche the best3:20
Kupenda nishapenda zaani3:12
Nigina2:27
R.I.P Manu4:52
CHAMPION GAL3:00
Zabike2:50
Haipo Sawa (Feat. Don breezy)4:13
Wano Wano2:15
Top stories
- OXEN MUSIC
29 July
- Mytee boy - SURVIVE
28 July
- Abakuchinsali
29 July


Leave your comment