Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Q Chief kufanya video Dubai na Justin Campos!
10 February 2016

Msanii wa muziki ambaye yupo chini ya label QS J Mhonda, Q Chief amesema yupo kwenye maandalizi ya kusafiri kwenda kushoot video zake mbili nchini Dubai na director wa Afrika Kusini Justin Campos.
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio Jumanne hii, Q Chief amedai video hizo zinaweza kuitangaza Bend yake mpya ya ‘QJ International’ ambayo alizindua hivi karibuni.
“Mimi pamoja na uongozi wangu tunashusha video mbili, tayari tumepanga kwenda kushoot Dubai. Hizi video zitatambulisha band yangu na tutafanya na Justin Campos kwasababu ni director mkubwa barani Afrika”, alisema Q Chief.
Licha ya hayo Q Chief pia alisema kwa sasa hivi yeye pamoja na bendi yake ‘QJ Interanational’ ameweka kambi bagamaoyo ili kujinoa vizuri.
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
ONLY YOU JESUS5:44
Melody Ft Tunche the best3:20
Kupenda nishapenda zaani3:12
Nigina2:27
R.I.P Manu4:52
CHAMPION GAL3:00
Zabike2:50
Haipo Sawa (Feat. Don breezy)4:13
Wano Wano2:15
Top stories
- OXEN MUSIC
29 July
- Mytee boy - SURVIVE
28 July
- Abakuchinsali
29 July


Leave your comment