Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Kajala asema Bongo Movie wana uwezo wa kumshitaki Nay Wa Mitego!
4 February 2016

Rapa Nay Wa Mitego baada ya kupost katika mitandao ya kijamii mashairi ya wimbo wake mpya yenye ‘utata’ hivi karibuni, mmoja kati ya wasanii wa Bongo Movie Kajala Masanja ametishia kumshitaki mahakamani.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Ney Wa Mitego aliandika;

Baada ya kauli hiyo, Kajala aliiambia Clouds FM kuwa hawajafurahishwa na kauli ya Nay.
“Nyie mnacheka mnaona sifa huyo anatukana. Wakati sisi Bongo Movie wote tunao uwezo wa kumshtaki, hawezi kututukana hivyo yeye ni nani? Mnakaa mnadhalilishwa mnafurahi? Alisema Kajala.
Hata hivyo msanii Nay alijibu kauli kwa kusema,
“Nimesikia kuwa Bongo Movie wana mpango wa kunipeleka mahakamani, nimeongea na wakili wangu kaniambia tutshinda kesi. Halafu Kajala namuheshimu kama mama yangu, nimesikia alichosema nasubiria wanipeleke mahakamani” alisema Nay.
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Anthem
25 May
- Angel Prince Biography
27 May


Leave your comment