Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Wimbo mpya toka kwake Mheshimiwa Temba ft Jokate na Yamoto Band ‘Fundi’
3 February 2016

Rapper toka kundi la Wanaume Family, Mheshimiwa Temba ameachia wimbo mpya uitwao ‘Fundi’, amewashirikisha Jokate na Yamoto Band. Msanii huyo aliyekuwa kimya kwa muda mrefu amerudi na kuahidi kufanya vizuri kwa mwaka huu. Pia huko nyuma Temba alitamba na kibao kama 'Mkono mmoja' akiwa na Wahu, 'Amekoma' na nyingine nyingi akiwa na kundi la Wanaume Family.
Producer wa wimbo huo mpya wa 'Fundi' ni Marco Chali.
Sikiliza hapa;
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
ONLY YOU JESUS5:44
Melody Ft Tunche the best3:20
Kupenda nishapenda zaani3:12
Nigina2:27
R.I.P Manu4:52
CHAMPION GAL3:00
Zabike2:50
Haipo Sawa (Feat. Don breezy)4:13
Wano Wano2:15
Top stories
- OXEN MUSIC
29 July
- Mytee boy - SURVIVE
28 July
- Abakuchinsali
29 July


Leave your comment