Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Mwasiti kujaribu kufanya Hip Hop!
1 February 2016

Msanii wa muziki nchini, Mwasiti Almasi amesema Fid Q, Mwana FA pamoja na Godzilla wamemwambia wapo tayari kumwandikia wimbo wa Hip Hop ili na yeye aonyeshe uwezo wake katika muziki huo.
Muimbaji huyo alikiambia kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV ana nia ya kubadili muziki wake kidogo ili kupata ladha nyingine.
“Mimi napenda Hip Hop sana sema sijawahi kujaribu” alisema Mwasiti.
“Nitajaribu kuachia wimbo kwasababu nimepata bahati Mwana FA kasema ataniandikia, Fid Q amesema ataniandikia, Nikki wa Pili pamoja na Godzilla wapo tayari kuniandikia. Sasa ni mimi tu nikamilishe halafu niseme lini itatoka”, aliongeza Mwasiti
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Anthem
25 May
- Angel Prince Biography
27 May


Leave your comment