Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Linex adai huwa hafanyi vitu kwa kufuata mkumbo!
29 January 2016

Linex amesema hafuati mkumbo wa kwenda kushoot video Afrika Kusini ndio maana ameamua kushoot video ya wimbo wake mpya ‘Kwa Hela’ Moshi na Arusha.
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Redio Alhamisi hii, Linex amesema bado ana imani Tanzania ina kila kitu ambacho kinaweza kuzifanya video zake ziwe kali.
“Mimi sipendi kufanya vitu kwa kufuata mkumbo”, alisema. “Mimi napenda kufanya kitu kwa idea yangu ya jambo fulani, sifanyi kitu kwasababu fulani kafanya ndio maana sijaenda kushoot South Africa nimeshoot hapa, Moshi na Arusha”.
Aliongeza kuwa “Video itakuwa poa kwasbabu director nimempa kile alichotaka. Kwahiyo kila alichokiulizia director alipata, mimi nina imani kazi itakuwa poa kama tulivyotarajia”.
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
ONLY YOU JESUS5:44
Melody Ft Tunche the best3:20
Kupenda nishapenda zaani3:12
Nigina2:27
R.I.P Manu4:52
CHAMPION GAL3:00
Zabike2:50
Haipo Sawa (Feat. Don breezy)4:13
Wano Wano2:15
Top stories
- OXEN MUSIC
29 July
- Mytee boy - SURVIVE
28 July
- Abakuchinsali
29 July


Leave your comment