Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Nahreel toka TZ hadi Nigeria
28 January 2016

Muziki wa Tanzania unazidi kukua kila kukicha, tunashuhudia wasanii mbalimbali wakivuka mipaka na kwenda kimataifa. Kwa sasa pia na maproducer wanajitahidi kutoboa na kwenda mbali, Producer Nahreel wa The Industry ameanza na Patoranking wa Nigeria.
Nahreel ameiambia XXL ya Clouds Fm leo hii kuwa alikutana na Patoranking alipokuja TZ kwenye show, akamsikilizisha kazi kadhaa na kuonekana kupenda kazi hizo, alimtumia beats kadhaa na huenda ujio wa album ya Patoranking ukawa na mkono pia wa kazi ya Nahreel.
Msanii huyo ametayarisha nyimbo kama Don't Bother ya Joh Makini ft AKA, Never Ever ya Vanessa Mdee, Nana ya Diamond ft Mr Flavour na nyingine nyingi.
Kila lakheri kwa Nahreel katika kuipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa.

Patoranking
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Angel Prince Biography
27 May
- My Career
25 May


Leave your comment