Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Nahreel toka TZ hadi Nigeria
28 January 2016

Muziki wa Tanzania unazidi kukua kila kukicha, tunashuhudia wasanii mbalimbali wakivuka mipaka na kwenda kimataifa. Kwa sasa pia na maproducer wanajitahidi kutoboa na kwenda mbali, Producer Nahreel wa The Industry ameanza na Patoranking wa Nigeria.
Nahreel ameiambia XXL ya Clouds Fm leo hii kuwa alikutana na Patoranking alipokuja TZ kwenye show, akamsikilizisha kazi kadhaa na kuonekana kupenda kazi hizo, alimtumia beats kadhaa na huenda ujio wa album ya Patoranking ukawa na mkono pia wa kazi ya Nahreel.
Msanii huyo ametayarisha nyimbo kama Don't Bother ya Joh Makini ft AKA, Never Ever ya Vanessa Mdee, Nana ya Diamond ft Mr Flavour na nyingine nyingi.
Kila lakheri kwa Nahreel katika kuipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa.

Patoranking
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
ONLY YOU JESUS5:44
Melody Ft Tunche the best3:20
Kupenda nishapenda zaani3:12
Nigina2:27
R.I.P Manu4:52
CHAMPION GAL3:00
Zabike2:50
Haipo Sawa (Feat. Don breezy)4:13
Wano Wano2:15
Top stories
- OXEN MUSIC
29 July
- Mytee boy - SURVIVE
28 July
- Abakuchinsali
29 July


Leave your comment