Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Watayarishaji muziki hatuna umoja - Master Jay
28 January 2016
<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1453986792_1281_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Mtayarishaji mkongwe wa muziki nchini, Master J amesema siku umoja wa watayarishaji muziki nchini ukiundwa, atarudi rasmi kutayarisha muziki.</p>
<p style="text-align: justify;">Master J ambaye ni mmiliki wa MJ Records, aliliambia gazeti la Mwananchi kuwa, mfumo uliopo kwenye tasnia ndiyo unaochangia kwa kiasi kikubwa kuondoa thamani ya watayarishaji.</p>
<p style="text-align: justify;">“Watayarishaji muziki na waongozaji video wana umuhimu mkubwa katika kukuza muziki hapa nchini, lakini niseme wazi kwamba hatuna maana kutokana na kukosekana kwa umoja baina yetu”, alisema.</p>
<p style="text-align: justify;">“Niliwahi kuitisha kikao kwa lengo la kuunda umoja, ikashindikana. Nimeamua kukaa kando kwa muda ili mambo yakinyooka nirudi upya”</p>
<p style="text-align: justify;">Master J alidai kuwa kutokana na kukosa umoja, kunawafanya watayarishaji wengi wa muziki waonekane hawana maana halia inayowafanya kugawa midundo yao bure.</p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Mtayarishaji mkongwe wa muziki nchini, Master J amesema siku umoja wa watayarishaji muziki nchini ukiundwa, atarudi rasmi kutayarisha muziki.</p>
<p style="text-align: justify;">Master J ambaye ni mmiliki wa MJ Records, aliliambia gazeti la Mwananchi kuwa, mfumo uliopo kwenye tasnia ndiyo unaochangia kwa kiasi kikubwa kuondoa thamani ya watayarishaji.</p>
<p style="text-align: justify;">“Watayarishaji muziki na waongozaji video wana umuhimu mkubwa katika kukuza muziki hapa nchini, lakini niseme wazi kwamba hatuna maana kutokana na kukosekana kwa umoja baina yetu”, alisema.</p>
<p style="text-align: justify;">“Niliwahi kuitisha kikao kwa lengo la kuunda umoja, ikashindikana. Nimeamua kukaa kando kwa muda ili mambo yakinyooka nirudi upya”</p>
<p style="text-align: justify;">Master J alidai kuwa kutokana na kukosa umoja, kunawafanya watayarishaji wengi wa muziki waonekane hawana maana halia inayowafanya kugawa midundo yao bure.</p>
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
ONLY YOU JESUS5:44
Melody Ft Tunche the best3:20
Kupenda nishapenda zaani3:12
Nigina2:27
R.I.P Manu4:52
CHAMPION GAL3:00
Zabike2:50
Haipo Sawa (Feat. Don breezy)4:13
Wano Wano2:15
Top stories
- OXEN MUSIC
29 July
- Mytee boy - SURVIVE
28 July
- Abakuchinsali
29 July


Leave your comment