Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Watayarishaji muziki hatuna umoja - Master Jay
28 January 2016
<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1453986792_1281_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Mtayarishaji mkongwe wa muziki nchini, Master J amesema siku umoja wa watayarishaji muziki nchini ukiundwa, atarudi rasmi kutayarisha muziki.</p>
<p style="text-align: justify;">Master J ambaye ni mmiliki wa MJ Records, aliliambia gazeti la Mwananchi kuwa, mfumo uliopo kwenye tasnia ndiyo unaochangia kwa kiasi kikubwa kuondoa thamani ya watayarishaji.</p>
<p style="text-align: justify;">“Watayarishaji muziki na waongozaji video wana umuhimu mkubwa katika kukuza muziki hapa nchini, lakini niseme wazi kwamba hatuna maana kutokana na kukosekana kwa umoja baina yetu”, alisema.</p>
<p style="text-align: justify;">“Niliwahi kuitisha kikao kwa lengo la kuunda umoja, ikashindikana. Nimeamua kukaa kando kwa muda ili mambo yakinyooka nirudi upya”</p>
<p style="text-align: justify;">Master J alidai kuwa kutokana na kukosa umoja, kunawafanya watayarishaji wengi wa muziki waonekane hawana maana halia inayowafanya kugawa midundo yao bure.</p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Mtayarishaji mkongwe wa muziki nchini, Master J amesema siku umoja wa watayarishaji muziki nchini ukiundwa, atarudi rasmi kutayarisha muziki.</p>
<p style="text-align: justify;">Master J ambaye ni mmiliki wa MJ Records, aliliambia gazeti la Mwananchi kuwa, mfumo uliopo kwenye tasnia ndiyo unaochangia kwa kiasi kikubwa kuondoa thamani ya watayarishaji.</p>
<p style="text-align: justify;">“Watayarishaji muziki na waongozaji video wana umuhimu mkubwa katika kukuza muziki hapa nchini, lakini niseme wazi kwamba hatuna maana kutokana na kukosekana kwa umoja baina yetu”, alisema.</p>
<p style="text-align: justify;">“Niliwahi kuitisha kikao kwa lengo la kuunda umoja, ikashindikana. Nimeamua kukaa kando kwa muda ili mambo yakinyooka nirudi upya”</p>
<p style="text-align: justify;">Master J alidai kuwa kutokana na kukosa umoja, kunawafanya watayarishaji wengi wa muziki waonekane hawana maana halia inayowafanya kugawa midundo yao bure.</p>
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Angel Prince Biography
27 May
- My Career
25 May


Leave your comment