Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Ndoa si kitu rahisi – Shaa
26 January 2016
<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1453817500_9411_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Mwanadada Shaa anaamini kuwa kufunga ndoa si mwisho wa matatizo kama wengi wanavyoamini.</p>
<p style="text-align: justify;">Muimbaji huyo mwenye uhusiano na Producer Master J, alikiambia kipindi cha Pillow Talk cha Times FM kuwa yeye yupo kwenye uhusiano mwaka wa 10 sasa lakini haoni sababu ya kukimbilia ndoa kabla hajajiweka sawa kiuchumi.</p>
<p style="text-align: justify;">“Ndoa sio solution ya kila kitu unajua, yaani ukiolewa tu umemamliz matatizo NO, unahitaji kujiweka sawa na kujiandaa”, alisema.</p>
<p style="text-align: justify;">Hata hivyo Shaa amesema miaka 3 ijayo huenda akaingia kwenye ndoa.</p>
<p style="text-align: justify;"> </p>
<p style="text-align: justify;">Mwanadada Shaa anaamini kuwa kufunga ndoa si mwisho wa matatizo kama wengi wanavyoamini.</p>
<p style="text-align: justify;">Muimbaji huyo mwenye uhusiano na Producer Master J, alikiambia kipindi cha Pillow Talk cha Times FM kuwa yeye yupo kwenye uhusiano mwaka wa 10 sasa lakini haoni sababu ya kukimbilia ndoa kabla hajajiweka sawa kiuchumi.</p>
<p style="text-align: justify;">“Ndoa sio solution ya kila kitu unajua, yaani ukiolewa tu umemamliz matatizo NO, unahitaji kujiweka sawa na kujiandaa”, alisema.</p>
<p style="text-align: justify;">Hata hivyo Shaa amesema miaka 3 ijayo huenda akaingia kwenye ndoa.</p>
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Angel Prince Biography
27 May
- new update don cast
25 May


Leave your comment