TANZANIA: Linex kujipanga vyema kimuziki mwaka huu 2016

<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1453811644_1301_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;">&nbsp;</p>
<p style="text-align: justify;">Msanii Linex Sunday Mjeda amejinadi kuwa mwaka huu amejipanga vizuri kuufanya muziki wake uwe wa kibiashara zaidi.</p>
<p style="text-align: justify;">Mwanamuziki huyo ambaye ameachia wimbo mpya hivi karibuni uitwao &lsquo;Kwa Hela&rsquo;, amezungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa uongozi alionao kwa sasa utamfanya afanye kazi kwa mafanikio.</p>
<p style="text-align: justify;">&ldquo;Biashara yangu ya mziki mwaka huu itabadilika&rdquo;, alisema na kuongeza &ldquo;Nina strong management, nikiweka business plan mezani, unaweka pesa, means kwamba tutafanya biashara ya muziki mwaka huu kuliko mwaka wowote ambao nilishawahi kufanya baishara yangu ya muziki&rdquo;.</p>
<p style="text-align: justify;">Linex amewataka mashabiki kumpa support kwenye kazi yake mpya na kuwaahidi video nzuri.</p>

Leave your comment

Top stories